Hosana mwana wa Daudi Hosana Mwana
wa Daudi, Hosana (Hosana). Mbarikiwa
anayekuja kwa jina lake Bwana Mungu,
Hosana (Hosana) Hosana Hosana Hosana
(Hosana Hosana Hosana Mwana wa Daudi) x2
Kweli hii ndio siku Bwana aliyoifanya na
tufurahie, mshukuruni Bwana Mungu kwa
maana fadhili zake ni za milele.
Mkono wa kuume wa Bwana umetenda
makuu na umetukuzwa, sitakufa bali
nitaishi na kusimulia matendo ya Bwana.
Jiwe walilolikataa ndilo Jiwe kuu la
pembeni, neno bali limetoka kwake
Bwana Mungu wetu.
Comments