Hodi wachunga, msiwe na woga Amkeni upesi, Bethlehemu mje nasi Alipozaliwa Mwokozi wenu
Haya twendeni, yumo pangoni Nyasi alalia alowashukia Mwenyeji wa mbingu Mwokozi wenu
Pamoja naye mna mamaye Yeye na Yosefu, mlinziwe mtukufu Wamtunza kitoto, Mwokozi wenu
Mtukufu Mungu katika mbingu Na kwenu amani kwa watu amani Wenye kumwungama Mwokozi wenu
Wakristu nyie twende na siye Kwenye mwana mchanga kama`o wachunga Nasi tumwabudu Mwokozi wetu
Comentarios