Mungu alipopanga ukombozi kusudi kutuosha dhambi hizi akakubali kwamba ye mwenyezi afe kifo kibaya kionezi mti wakamuwamba kama mwizi wakidhani ya kwamba ameshindwa amefufuka Bwana na mwokozi kazivunja hila Lusiferi katukomboa wana wa Mwenyezi twaimba ndiyo maana nyimbo nzuri Amefufuka Bwana na mwokozi kazivunja hila za Luciferi, katukomboa wana wa Mwenyezi twaimba ndiyo maana nyimbo nzuri
Mungu akakubali kuonewa hakuweka wakili kutetewa nguo bila hiari kavuliwa kapigwa misumari kazomewa akakubali kusali kuombea wauaji wapate msamaha
Mungu atufundisha kujitoa ya wengi maisha kuokoa na anatukumbusha kupokea yanayotutisha kumwendea tusije kukatisha njema nia ili kuyapisha ya dunia
top of page
bottom of page
Comentários