top of page

Hii Ndiyo Siku


(Hii ndiyo siku x2 aliyoifanya Bwana) x2

(Tuimbe kwa furaha tumsifu Bwana) x4

1. Bwana ametamalaki / nchi na ifanya shangwe

2. Bwana amevaa enzi / amesimama imara.

3. Dunia ishangilie / visiwa na vifurahi

4. Mawingu yanamzunguka / haki ndiyo kiti chake.

4. Moto unamtangulia / adui kuteketeza.

5. Atukuzwe Bwana Mungu / Muumba wa vitu vyote.

2 views0 comments

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating
bottom of page