Jiwekeeni hazina yenu, hazina yenu mbinguni (mbinguni) kusiko haribika kitu x2 (kwa nondo wala kutu, wala wevi hawavunji; Jiwekeeni hazina yenu mbinguni) x2
Msijiwekee hazina duniani, nondo na kutu viharibupo, na wezi huvunja huvichukkua na kuvi
Bali jiwekeeni hazina yenu mbinguni kusikoharibika kitu kusikoharibika kitu
Kwa kuwa hazina yako ilipo ndipo na moyo wako utakapokuwa ndipo na moyo wako utakapokuwa.
Comentarios