1. Hapo kale nchi Filipi Yesu kauliza wanafunzi wake, watu hunena mimi ni nani apate kujua yao yote x2
(Wengi),wengine hunena u-Yohana, (wengi) wengine hunena u-Eliya (wengi) wengine hunena Yeremia mmoja wa manabii x2
2. Mwaniona mimi ni nani? Simoni Petero kamweleza, wewe ni mchungaji Mwana wa Mungu uliyetabiriwa mbinguni x2
Comments