1. Mbona mlishangaa walipo mhukumu kristo afe Hamkujua ni mwana wa mungu hamkujua kumbe hamkujua yaliyoandikwa yalikukua yanatimia
Na sasa bwana yesu kafufuka ni kweli kama alivyosema tena ulimwengu kaukomboa nikama ilivyotabiriwa Shangwe na furaha iyelee ni mzima ni mzima Bwana amefufuka iyelee ni mzima alleluiaKashinda mauti iyelee ni mzima ni mzima anaishi milele Ni mzima alleluia
2. Mbona mlishangaa giza lilipo ifunika nchi Mbona mlishangaa pazia la hekalu kupasuka
3. mbona mlishangaa jiwe la kaburi kuvingirishwa
Mbona mlishangaa kukuta sada tupu kaburini
Hitimisho
Mbingu zinashangilia ulimwengu shangilia amefufuka Kristo ni shangwe kuu (alleluia) × 4
Amefufuka ilivyoandikwa alleluia kaiweka wazi alleluia Milango ya kuzimu alleluia amefufuka ilivyoandikwa alleluia
(Alleluia) × 4 Amefufuka
Comentarios