Nina haja nawe kila saa;
Hawezi mwingine kunifaa.
Yesu nakuhitaji vivyo kila saa!
Niwezeshe mwokozi, nakujia.
Nina haja nawe; Kaa name,
Na maonjo haya, hayaumi.
Nina haja nawe; kila hali,
Maisha ni bure, uli mbali.
Nina haja nawe; Nifundishe,
Na ahadi zako, zifikishe.
Nina haja nawe; Mweza yote,
Ni wako kabisa, siku zote.
コメント