BWANA UTUHURUMIE.
Bwana tuhurumie tuhurumie,Bwana, Bwana,Bwana ee Bwana ee, Bwana tuhurumie x2
Kristu tuhurumie…..
Bwana tuhurumie….
UTUKUFU
Tunakusifu, tunakuheshimu, tunakuabudu, tunakutukuza x2
Utukufu kwa Mungu juu Mbinguni na amani duniani kwa watu wa mapenzi mema tunakushukuru kwa ajili ya utukufu wako mkuu
Ee Mungu Mfalme wa mbinguni Baba Mwenyezi / ewe
Bwana wetu Yesu Kristu Mwana wa pekee.
Ee Bwana wa Mungu wa Mwana Kondoo wa Mungu, Mwana wake Baba mwenye kuondoa dhambi za watu.
Ewe Mwenye kuondoa dhamb za dunia Mungu, utuhurumie ombi letu upokee.
Ewe Mwenye kuketii kuume kwa Baba mwenyezi, utuhurumie ndiwe Peke yako Mtakatifu.
Pekee yako ni Mwana wa Pekee Mkuu Yesu Kristu, pamoja na Roho katika utukufu wa Mungu Baba.
NASADIKI
Nasadiki kwa Mungu mmoja Muumba mbingu na dunia na kwa
mwana wa pekee yesu Kristu Bwana wetu ninasadiki
Aliyetungwa kwa uwezo wake Roho Mtakatifu kazaliwa na Bikira ninasadiki
Aliteswa kwa pilato alisulibiwa na akafa akazikwa akashukia na kuzimu kafufuka yeye siku ya tatu toka wafu ninasadiki
Ninasadiiki, ninasadiki, ninasadiki
Akapaa juu mbinguni, ameketi kuume kwake Baba mwenyezi
Atakapotokea kuhukumu watu wote wazima na wafu
Nasadiki kwake Roho na kanisa takatifu katoliki la mitume
Ushirika ule mwema wa watakatifu wote, maondoleo ya dhambi
Ufufuko wa miili na uzima wa milele ijayo Amina
MTAKATIFU
Mtakatifu, mtakatifu
Mtakatifu Bwana, Bwana Mungu Bwana Mungu wa majeshi.
Mbingu na dunia zimejaa utukufu wako mbingu na dunia zimejaa utukufu wako Bwana
Hosanna x 7 (Juu mbinguni)
Mbarikiwa anayekuja Kwa jina la Bwana Bwana Mungu wa majeshi
BABA YETU
Baba yetu (Baba) wa mbinguni, jina lako litukuzwe, Baba yetu wa mbinguni (na) jina lako litukuzwe
Falme wako utufikie, utakalo na alifanyike– Jina lako litukuzwe
Duniani kama mbinguni, duniani kama mbinguni- Jina lako litukuzwe
Tupe leo mkate wetu, mkate wetu wa kila siku -
Tusamehe makosa yetu, tusameheavyo watukoseao -
Situtie kshawishini walakini utuopoe –
Tuopoe kwenye maovu, tuopoe kwenye maovu –
Kwa kuwa ufalme ni wako, na nguvu na utukufu –
Utukufu hata milele, utukufu hata milele –
MWANAKONDOO
Mwanakondoo wa Mungu,
Mwana, mwana, uondoaye dhambi za dunia, mwana (Ee) mwana (Ee) Mwana tuhurumie x2
Mwanakondoo wa Mungu, mwana, mwana, uondoaye dhambi za dunia, mwana (A/Ee) mwana, utujalie amani, utujalie amani, amani.
Comments