Ewe Maria umebarikiwa kuliko wanawake
wote (Umetuzalia mtoto mwanaume
mwenye ufalme mabegani pake) x2
Bikira Maria umebarikiwa kuliko
wanawake wote, umetuzalia mtoto
mwanaume mtawala ndiye mfalme wetu.
Mtoto mwanaume ni Bwana mtawala wa
mbingu na dunia pia, Maria ni mama ni
mama wa Mungu, pia ni mama yetu sisi.
Ee mama wa Mungu tunakupongeza
kwa kutuletea mwokozi, Maria twaomba
maombi yetu yafike kwa Yesu mwanao.
Comments