Ewe Maria) umebarikiwa kuliko wanawake wote, umetuzalia mtoto mwanaume mwenye ufalme wako ndani.
Nionee huruma Mama mimi nilie mkosefu, mwili wangu ni dhaifu kwa sababu ya dhambi zangu.
Na magonjwa niponye mama kwa jina la mwanao Yesu, naye roho mtakatifu aimarishe nguvu zangu.
Ee Mama wa Mungu tunakupongeza kwa kutuletea mwokozi, Maria twaomba maombi yetu yafike kwa Yesu mwano.
Comments