Ewe Baba (Baba yetu mwema uliye mbinguni )yetu wa mbinguni (Jina lo litukuzwe utawale petu) Njoo utawale petu) daima na milele )x2
Utakalo lifanyike, daima na milele, Duniani kama mbinguni
Tupe leo chakula chetu,chakula cha kila siku
Tusamehe makosa yetu,kama vile twawasamehe walio tukosea sisi
Situtie majaribuni ,walakini utuopoe maovuni tuopoe
Kwa kuwa ufalme ni wako.Na nguvu na utukufu hata milele
コメント