Enyi watu wote pigeni makofi x2) mpigieni Bwana Mungu wetu, mshangilieni kwa vigelegele*2.
1. Enyi watu pigeni makofi mpigieni Mungu ,pigeni kelele kwa sauti za shangwe
2. Kwa kuwa Bwana aliye juu ni mwenye kuogofya, ndiye Mfalme wa mkuu wa dunia yote.
3 Bwana atawalisha watu wanchi yote, na mataifa chini ya miguu yake.
Comments