Enyi watu wote pigeni makofi, pigeni makofi, mshangilie Mshangilieni Mungu kwa sauti ya shangwe x2
Bwana ndiye nguvu kwa watu wake, ndiye kinga ya wokovu kwa Kristu wake.
Ee Bwana uwaokowe watu wako, uubariki uridhi wake, uwachunge hata milele.
Ee Bwana nitakuita wewe mwamba wangu, usiwe kwangu kama kiziwi.
Ee Mungu twakumbuka huruma yako, katika hekalu lako.
Hivyo hata sifa yako yaenda mpaka kingo za dunia, mkono wa kuume umejaa haki.
Commenti