Enendeni ulimwenguni kote, mkawafanye mataifa yote (alleluia) wawe wanafunzi wangu (alleluia) (Mkiwabatiza kwa jina la Baba, Na pia, la Mwana naye Roho Mtakatifu) x2
Nendeni kwa mataifa muhubiri kwao jina langu mimi
Kwa watu wote muhubiri neno langu ili wote waokoke
Muwafanye wanafunzi wangu mimi siku zote alleluia
Nendeni ulimwenguni bila hofu mtangaze neno langu
Commentaires