Enendeni kwa amani, mkahubiri mliyo yasikiliza x 2
Msiyageuza mliyoyasikiliza, na kuhubiri kinyume chake
Muwe mfano bora kwa moyo na matendo, ili wengine wawatamani
Ninyi ni wa mmoja kwa huo mwili na damu mlio pokea siku ya leo
Mkiyatimiza mnayopaswa kutenda, naye mwenyezi ata furahi
Comments