Ee Yesu wangu nakupenda mimi chakula changu, wewe ni chakula cha roho. Kila siku nakuwaza wewe shinda nami ukae ndani yangu nami ndani yako
Chakula hiki ni mwili wangu kinywaji ni damu yangu tule tupate uzima wa milele
Msipokula huu mwili wangu, msipokunywa hii damu yangu, kamwe hamtakuwa na uzima
Alaye mwili na damu yangu, hukaa nami nami ndani yake nitamfufua siku ya mwisho
Comments