Ee ndugu peleka talanta yako kwa Bwana, kwani Mungu alikupatatia cha kiasi chako
Bass: Nawe mrudishie Bwana kama wale watumishi
Wote: Kama wale waliopewa talanta mbili na tano
Kumbuka waliopewa talanta mbili na tano walileta mbili na tano faida, Bwana wao akawasifu kwa uaminifu wao, akawapokelea nao akawapenda.
Kumbuka Mungu alivyokupatia kwa wiki nzima, atataka kufanya hesabu na ukumbuke kutoa hesabu kama wale wawili naye Mungu wako atakupokelea.
Comments