Ee Bwana ikupendeze, Bwana ikupendeze, sadaka ya siku kuu hii ya leo) x2 (Sadaka hii ndiyo fidia timilifu, ya kutupatanisha na wewe Mungu Baba, Na pia ibada timilifu ya kukutolea wewe ee Mungu wetu) x2
Tunakutolea mkate na divai, Kazi ya mikono yetu wanadamu- Twakuomba Ee Bwana ikupendeze
Tunakutolea pia fedha zetu,Pia na mazao ya mashamba yetu- Twakuomba Ee Bwana ikupendeze
Tunakutolea nazo nafsi zetu, Kwa unyenyekevu na kwa moyo safi- Twakuomba Ee Bwana ikupendeze
Comments