Ee Bwana twakuomba upokee vipaji vyetu x2, hivyo vyote ni mali yako tumepata kwa wema wako pokea x2
Mkate divai twakutolea- Twakuomba Baba upokee
Mazao ya mashamba twakutolea- Twakuomba Baba uyabariki
Pokea nazo nyoyo zetu- Pokea Baba twakuomba
Na fedha za mifuko twakutolea- Twakuomba Baba tubariki
Na kazi za mikono twakutolea- Twakuomba Baba zikupendeze
Furaha na uchungu twakutolea- Twakuomba Baba upokee.
Comments