Ee Baba pokea zawadi tunaleta x 2. pokea Baba hizo zawadi tunaleta x 2. Pokea Baba hizo zawadi, tunaleta kwa Baba Muumba wetu x 2.
1. Twakutolea mkate huo, twakutolea divai hii ni kazi ya wanadamu.
2. …….na fedha zetu……. na nyoyo zetu………
3. …… mazao yetu…… …na mali yetu…….
4. …… maisha yetu……… na nafsi zetu……
5. …….furaha yetu……. …uchungu wetu………
Commentaires