top of page

Damu Imebubujika

1. Damu imebubujika, ni ya Imanweli

Wakioga wenye taka, husafiwa kweli.


2. Ilimpa kuushukuru mwivi mautini

Nami nisiye udhuru, yanisafi ndani.


3. Kondoo wa kuuawa, damu ina Nguvu

Wako wote kuokoka, kwa Utimilivu.


4. Bwana tangu Damu yako, kunisafi

Kale Nimeimba sifa zako,taimba milele.


5. Nikifa tazidi kwimba, sifa za Wokovu

Ulimi ujaponyamaa, vumbini mwa ufu.


6. Bwana, umenikirimu Nisiyestahili

Kwa damu yako, sehemu Ya mali ya kweli.

9 views0 comments

Comentarios

Obtuvo 0 de 5 estrellas.
Aún no hay calificaciones

Agrega una calificación
bottom of page