UTUHURUMIE
S: Ewe Bwana x3 tuhurumie
[All: (A: Ewe) Bwana tuhurumie, ewe Bwana tuhurumie ]x2
TB: Ewe Kristu x3 tuhurumie
[All: (A: Ewe) Kristu tuhurumie, ewe Kristu tuhurumie] x2
S: Ewe Bwana x3 tuhurumie
[All: (A: Ewe) Bwana tuhurumie, ewe Bwana tuhurumie ]x2
UTUKUFU
[S: Utukufu kwa Mungu mbinguni
All: Na amani kote duniani, kwao wenye mapenzi mema] x2
1.SA: Tunakusifu, tunakuheshimu, twakuabudu, tunakutukuza; twakushukuru Mungu kwa ajili ya utukufu wako mkuu.
TB: Ee Bwana Mungu, mfalme wa mbinguni, Baba Mwenyezi Muumba wa vyote; Ee Bwana Yesu mwana wa pekee,
mwanakondoo, mwana wake Baba.
2.SA: Uondoaye dhambi za dunia, tuhurumie, utuhurumie; uondoaye dhambi za dunia, ulipokee hili ombi letu.
TB: Unayeketi kuume kwa Baba, tuhurumie, utuhurumie; Kwa kuwa wewe ndiwe peke yako, Mtakatifu, peke yako Bwana.
3.Unis: Pekee yako mkuu Yesu Kristu, pamoja naye Roho Mtakatifu; Kwa utukufu wake Mungu Baba, milele yote, amina, amina
MTAKATIFU
S:Mtakatifu x3 Bwana Mungu
All: Mtakatifu Bwana Mungu, Bwana Mungu wa majeshi x2
TB: Mbingu na dunia zote zimejaa utukufu wako
All: Mbingu na dunia zimejaa utukufu wako ee Bwana x2
S: Hosana x3 juu mbinguni
All: Hosana juu mbinguni, hosanna juu mbinguni x2
TB: Mbarikiwa x2 ni ajaye kwa jina la Bwana
All: Mbarikiwa ni ajaye, ni ajaye kwa jina la Bwana x2
S: Hosana x3 juu mbinguni
All: Hosana juu mbinguni, hosanna juu mbinguni x2
MWANAKONDOO
[S: Mwanakondoo wa Mungu, uondoaye makosa yetu, tuhurumie x4
A: Mwanakondoo, mwanakondoo, tuhurumie…tuhurumie x2
T: Mwanakondoo, mwanakondoo, tuhurumie x4
B: Mwanakondoo, uondoaye, mwana, tuhurumie, tuhurumie x2] x2
TB: Mwanakondoo wa Mungu, uondoaye makosa yetu… mwanakondoo wa Mungu uondoaye oh…
SA: Mwanakondoo wa Mungu, uondoaye oh, mwanakondoo wa Mungu uondoaye makosa yetu…
All: Utujalie amani, utujalie amani
Σχόλια