1. Sauti yake Mungu Ikamjia Jonah kuhubiri huko Ninawi x2
Shetani kamwingia Jonah upesi sana, kasema kimbilia mjini Tarishishi, Jonah akapanda katika ngalawa, wakafika kati, kati ya baharí, Mungu naye katuma mawimbi, ( tazama) kilio kikafika, wakamtupa Johan baharini, ( samaki) samaki akammeza.
2.Jonah akawa - Ndani
Ya samaki - Mda wasiku tatu akiomba
Na mwisho wake - Jonah
Akakubali - Kwenda kuhubiri huko Ninawi.
3.Ewe mwenzangu - Nawe
Uko tayari - Kwenda kuhubiri neno lake
Sauti yake - Mungu
Inakuita - Kwenda kuhubiri neno lake.
Комментарии