Bwana Yesu kazaliwa, tumwimbie kwa furaha aleluya, aleluya, aleluya, aleluya, aleluya, aleluya.
1. Kwa ajili yetu sisi / amezaliwa kitoto – aleluya
2. Amwzaliwa kitoto / nasi tumepewa Mwana – aleluya
3. Utawala na uwezo / vipo mabegani mwake – aleluya
4. Jina lake ndilo Baba / wa milele tena Mfalme – aleleuya
5. Enzi yake ya kifalme / haitakuwa na mwisho – aleluya
6. Anakalia kitiye / chake Daudi babaye – aleluya
7. Furaha binti sioni / umpokee Bwana wako – aleluya
8. Dunia na ifurahi / nchi na ishangilie – aleluya
Comments