top of page

Bwana Yesu alitamka

1. Bwana Yesu alitamka mimi ndimi njia ya kweli, Mtu haji kwa Baba yangu ila kwa njia yangu mimi x2

Hebu jiulize, (jiulize) njia gani uifwatayo nawe waelekea wapi na wafuata njia ya kweli x 2.

2. Njia nyembamba yenye tabu, ndiyo iendayo mbinguni na ile pana ya anasa yaelekea jehanamu x2

3. Ngamia ni rahisi sana, kupenya tundu la sindano, kuliko mtu mwenye dhambi kuingia mbinguni kwa Baba x2

4. Mimi ndimi mwanzo na mwisho, mimi ni Alfa na Omega, mtu haji kwa Baba yangu ila kwa njia yangu mimi x 2.

17 views0 comments

Commentaires

Noté 0 étoile sur 5.
Pas encore de note

Ajouter une note
bottom of page