Bwana Yesu alisema kuleni mwili wangu , kunyweni damu, yangu, iliyotwaliwa mimi ndimi chakula cha kweli na Uzima asema Bwana mimi ndimi kinywaji kweli na uzima asema Bwana
Mimi ndimi njia na uzima asema Bwana, mtu haji kwa Baba ila kwa njia ya uzima.
Chakula nitakachowapa ninyi ni mwili wangu, kinywaji nitakachowapa ninyi ni damu yangu.
Yeye anatuita sisi ndungu tujongee mezani, tule mwili wake tunywe damuye tupate uzima.
Comments