Bwana Yesu alipokwisha kula pamoja na wafuasi wake aliwaosha miguu.
Bwana Yesu alipokwisha kula pamoja na wafuasi wake, aliwaosha miguu.
Akawaambia mwafahamu niliyowatendea. Mimi niliye Bwana na
mwalimu wenu.
Nimewapa mfano, ili mtende nanyi vile vile.
Amini amini nawaambia nyinyi Mtumwa si mkuu kuliko Bwana wake.
Wala mtume sio mkuu, Kuliko aliyempeleka
コメント