Bwana Yesu alipokwisha kula pamoja na wafuasi wake, Aliwaosha miguu yao
Bwana Yesu alipokwisha kula pamoja na wafuasi wake, aliwaosha miguu
Akawaambia mwafahamu niliyowatendea mimi niliye bwana na mwalimu wenu
Nimewapa mfano ili mtende ninyi mtende vile vile
Amin amin, nawaambia ninyi mtumwa si mkuu kuliko Bwana wake
Wala mtume sio mkuu, kuliko yeye aliyempeleka
Mkiyajua haya, heri ninyi mkiyatenda
Kommentare