Bwana wewe ndiwe mchungaji wangu sitapungukiwa kitu x2
Katika malisho ya majani mabichi hunilaza kando ya maji ya utulivu huniongoza
Huihuisha nafsi yangu na kuniongoza katika njia na hata kwa ajili ya jina lake
Naam, nijapopita katika bonde la uvuli wa mauti, sitaogopa mabaya
Kwa maana wewe upo pamoja nami, gongo lako na fimbo yako vyanifariji
Waandaa meza mbele yangu, machoni pa watesi wangu
Hakika wema na fadhili zitanifuata, siku zote za maisha yangu, nami nitakaa nyumbani mwa Bwana milele
Comments