Bwana wa Mabwana apewe sifa x2
Bwana wa mbiguni apewe sifa x2
Yeye ni Mfalme apewe sifa x2
Yesu Mwokozi apewe sifa x2
Atupenda, atujali, abariki, Yeye ni mwema, mwamba wetu, kimbilio ni mfariji yeye ni Mungu.
Aliteseka kwa ajili yetu x2
Akatufia msalabani x2
Ili tupate wokovu wetu x2
Tuwe na ushindi kwa jina lake.
Tumsifu, tumwabudu, tumuinue, yeye ni mwema, Jehova Jire, Jehova shada, Jehova Raffa, yeye ni Mungu
(Back to verse 1)
Atupenda sisi, atujali sisi, abariki yeye . Yeye ni mwema, mwamba wetu sisi kimbilio letu ni mfariji yeye ni Mungu.
Comments