Bwana upokee, Bwana upokee, zawadi twaleta x2
1. Mkate na divai- Zawadi Twaleta
Mazao ya mashamba - Zawadi Twaleta
Na pia nafsi zetu- Zawadi Twaleta
Vyote tulivyonavyo- Zawadi Twaleta
Furaha na uchungu- Zawadi Twaleta
2. Na kiini cha ngano- Zawadi Twaleta
Na tunda la mzabibu- Zawadi Twaleta
Fedha za mifukoni- Zawadi Twaleta
Nafaka upokee- Zawadi Twaleta
Twakutolea vyote- Zawadi Twaleta
3. Kwako Baba muumba- Zawadi Twaleta
Kwa njia ya Mwokozi - Zawadi Twaleta
Katika mfariji - Zawadi Twaleta
Ipate kugeuzwa- Zawadi Twaleta
Iweze kutufaa - Zawadi Twaleta
4. Pokea, twakuomba- Zawadi Twaleta
Ingawa ni kidogo - Zawadi Twaleta
`Twatolea kwa moyo - Zawadi Twaleta
Baba, usikatae - Zawadi Twaleta
Vipaji vya mwanao - Zawadi Twaleta
Comments