top of page

Bwana Unihifadhi Mimi

Bwana, unihifadhi mimi, Nakulilia wewe mchana kutwa


  1. Unisikilize, maana mimi ni fukara, ee Bwana.

  2. Wewe ni Mungu wangu, unionee huruma, ee Bwana.

  3. Mimi ninakulilia, mchana kutwa, ee Bwana.

  4. Wewe u mwema, na mwenye huruma, ee Bwana.

  5. Umejaa upendo, kwa wote wanaokuomba, ee Bwana.

  6. Usikie sala yangu, uangalie kilio changu, ee Bwana.

  7. Siku za tabu, nakuita, ee Bwana.

  8. Hakuna Mungu, aliyekama wewe, ee Bwana.

  9. Hakuna awezaye kufanya, unavyofanya wewe, ee Bwana.

18 views0 comments

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating
bottom of page