Bwana unihifadhi mimi, nakukimbilia.Bwana unihifadhi mimi kwa maana nakukimbilia wewe x 2 Adui zangu wasifurahi, kwa kunishinda.
Ee Mungu kwa jina lako uniokoe / usikie maneno ya kinywa changu.
Lakini wewe Bwana ndiye kinga yangu / Mungu ninayemtumaini.
Ee Bwana unifundishe njia zako/ unifundishe na mapito yako.
Usiyakumbuke makosa ya ujana wangu/ bali unitendee kwa kadiri ya uwingu wa fadhili zako.
Comments