Bwana ni nuru yangu na wokovu wangu nimuogope nani? Uzima wangu nimhofu nani x2
Watesi wangu na adui zangu, walijikwaa wakaanguka Jeshi lijapo kupigana nami moyo wangu hautaogopa
Vita vijaponitokea, hata hapo nitatumaini neno moja nalitaka kwa Bwana, nalo ndilo nitalitafuta
Nikae nyumbani kwa Bwana, siku zote za maisha yangu, niutazame uzuri wa Bwana, nakutafakari hekaluni mwake
Commentaires