Sop: Bwana ndiye mchungaji wangu sitapungukiwa na kitu, sitapungukiwa
All: sitapungukiwa, sitapungukiwa (na kitu) sitapungukiwa x2
Ten; Katika
All: Katika majani mabichi hunilaza
Ten: Kando ya maji
All: Kando ya maji ya utulivi uniongoza x2
Sop: Aiyee,
All: aiyelele, aiyelele x2
Sop: Bwana
All: Ndiye mchungaji wangu sitapungukiwa na kitu
Ninapopita katika bonde la giza kuu, sitaogopa hatari yeyote, Bwana ndiye
Ewe mwenyezi Mungu upamoja nami gongo lako na fimbo yako vinanilinda, Bwana ndiye
Karamu umeniandalia mbele ya adui zangu Bwana nitakusifu, Bwana ndiye
Comments