Umenilisha mwili wako na damu yako ili nipate uzima wa milele (: wewe) – Bwana nakushuru asante. Nitakulipa nini mimi Mwokozi wangu, kwa mema yote ambayo umenijalia – Bwana nakushukuru asante.
Bwana nakushuru asante x 2 Pendo lako kwangu kubwa sana x2
Bwana nakushuru asante x 2 kwani umenilisha mwiliyo x 2
Bwana nakushuru asante x 2 Kwani umeninywesha damuyo x2
Bwana nakushuru asante x 2 Wema wako kwangu kubwa sana x2
留言