Bwana naileta, naileta sadaka kwako (ninaleta) ninaleta sadaka yangu niliyo andaa x2 sio kwamba naileta ili wanitazame wenzangu (si hivyo) bali naileta kwako kusudi nikupendezeshe Bwana x2
Bwana pokea sadaka yetu, tunaleta kwako, Ee Bwana uipokee
Mkate Divai Mazao ya shamba, twayaleta kwako, Ee Bwana uyapokee
Hebu tazama, fedha yangu ndogo, naileta kwako, Ee Bwana uipokee
コメント