Bwana Mungu aliona Mwanakondoo apotea Kwa upendo akamtoa Mwana wake wa pekee
Alelu - aleluya kazaliwa Yesu mwa - Yesu Mwana wa Pekee Bethlehe - Bethlehemu amelazwa Mama - Mamayo Maryamu
Lile neno lilikuwa maandishi yanenavyo Na kwa yeye vitu vyote vikapata kuwepo
Siku Yesu alizaliwa watu wote walishangilia Wakasema huyu mfalme Mwokozi wa dunia
Comments