Ee Bwana wangu na mimi nikupe nini, nina zawadi kidogo ee Bwana wangu, pokea zawadi x 2.
Ee Bwana wangu na mimi nikupe nini, nina zawadi kidogo ee Bwana wangu, pokee zawadi x 2.
……nakutolea mazao ya mashambani….
…..nakutolea na fedha za mifukoni….
…..maisha mwenyewe na nafsi yangu…..
….. maisha yangu nakupa uyapokee….
Haya ni maombi, yetu Baba mwenyezi tuna imani (utusikilize) – (Baba nisamehe).
Comments