top of page

Bwana Mimi Nikupe Nini?

Ee Bwana wangu na mimi nikupe nini, nina zawadi kidogo ee Bwana wangu, pokea zawadi x 2.

  1. Ee Bwana wangu na mimi nikupe nini, nina zawadi kidogo ee Bwana wangu, pokee zawadi x 2.

  2. ……nakutolea mazao ya mashambani….

  3. …..nakutolea na fedha za mifukoni….

  4. …..maisha mwenyewe na nafsi yangu…..

  5. ….. maisha yangu nakupa uyapokee….

  6. Haya ni maombi, yetu Baba mwenyezi tuna imani (utusikilize) – (Baba nisamehe).

1 view0 comments

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating
bottom of page