top of page

Bwana Ametamalaki

Bwana ametamalaki x 2 (dunia ishangilie, kwa furaha na vigelegele x2

  1. Umeme wake, ulianza ulimwengu Mungu Mwenyezi

  2. Na watu wote, wameuona ‘tukufu wakeMungu Mwenyezi

  3. Binti za Yudah, washangilie kwa furaha Mungu Mwenyezi

  4. Mfalme Baba, muumba vyote sifa kwako Mungu Mwenyezi

  5. Apewe sifa, kwa baragumu na vinubi Mungu Mwenyezi

  6. Wa Israeli, wa-amtukuza muumba wao Mungu Mwenyezi

  7. Na tumuimbie, tukimwabudu mlinzi wetu Mungu Mwenyezi

1 view0 comments

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating
bottom of page