Bwana ametamalaki x 2 (dunia ishangilie, kwa furaha na vigelegele x2
Umeme wake, ulianza ulimwengu Mungu Mwenyezi
Na watu wote, wameuona ‘tukufu wakeMungu Mwenyezi
Binti za Yudah, washangilie kwa furaha Mungu Mwenyezi
Mfalme Baba, muumba vyote sifa kwako Mungu Mwenyezi
Apewe sifa, kwa baragumu na vinubi Mungu Mwenyezi
Wa Israeli, wa-amtukuza muumba wao Mungu Mwenyezi
Na tumuimbie, tukimwabudu mlinzi wetu Mungu Mwenyezi
Comments