Bwana amepaa Mbinguni aleluya (kweli) Bwana amepaa kwa shangwe aleluya
Ninapaa kwenda kwa Baba yangu na Baba yenu Kwa Mungu wangu na Mungu wenu
Mioyo yenu isihuzunike kwa maana ninakwenda kwa Baba
Ninakwenda kuwatengezea mahali nitakwenda tena kuwachukua
Ili mpate kuwapo nilipo mimi
Kutoka Mbinguni, atakuja Mwokozi tunayemtazamia ndiye Bwana Yesu Kristu
Bwana atageuza, miili yetu ya unyonge upate kufanana na mwili wake na utukufu
Kristu alikufa kwa ajili yetu akafufuka
Amekaa kuume kwa Baba Ndiye anaye tuombea
Comments