Bwana amefufuka tuimbe aleluya, amefufuka kweli kweli aleluya x2
Utukufu na ukuu una yeye hata milele aleluya x 2
Nimefufuka na bado ningali nawe pamoja nawe
Umeniwekea mkono wako maarifa hayo ni ya ajabu aleluya
Maarifa haya ya ajabu aleluya
Aleluya, aleluya, aleluya, aleluya
Comentarios