Bwana alipokwisha kubatizwa x2, mbingu zika mfunukia na roho akashuka, kwa mfano wa hua na kukaa juu yake. ( juu yake).
Natazama sauti ya Baba, kutoka mbinguni, inasema huyu ndiye mwanagu mpendwa.
Ndiye ninayependezwa naye msikilizeni, sauti ilisikika kutoka mbinguni.
Comments