Bwana alipoingia, katika mji mtakatifu Watoto wa Mayahudi - walimlaki Bwana Wakichukua matawi - ya mizeituni Wakisema hosanna, hosanna, hosanna juu hosanna juu mbinguni x2
Wakatandaza na nguo zao wakimlaki Bwana
Hosanna hosanna juu mbinguni hosanna mbinguni
Mbarikiwa anayekuja kwa jina la Bwana
Commentaires