Bwana aliniambia ee mwanangu nikutume (wote) nitume kuhubiri x 2
Naye aliponiambia, nilimjibu Bwana nikisema hivi kwamba, Bwana niko tayari mimi, Bwana niko tayari nami nitakwenda x 2
1. Bwana aliniambia njoo mwanangu njoo, ukahubiri, habari njema kwa wote masikini – nenda ukahubiri, Kwa mataifa yote, nimekutuma leo ewe mwanangu.
2. Bwana aliniambia njoo mwanangu njoo, ukawatangazie uhuru wale waliofungwa, Nenda ukahubiri kwa mataifa yote, nimekutuma leo wewe ewe mwanangu.
3. Bwana aliniambia njoo mwanangu njoo, ukawahudumie vipofu nao wapate kuona
Nenda ukahubiri kwa mataifa yote, nimekutuma leo wewe ewe mwanangu.
댓글