Binadamu, inama kichwa, umwabudie Mungu mhuu, (hapo yupo ajapofichwa, ameskuka chini kwetu) x2
Kwa macho yetu hatuoni ila maumbo ya mkate, (hakuna ‘ta mkate, lakini mwiliwe twakiri sote) x2
Kukaa nasi umetaka, Rabi mwema, mpenda watu, (kwa tama nyoyo zawaka, njoo basi ndani mwetu) x2
top of page
bottom of page
Comments