Basi mpeni Kaisari yaliyo ya Kaisari x2
Na Mungu mpeni yaliyo yake Mungu x2
Ndipo mafarisayo wakaenda zao wakafanya shauri, jinsi ya kumtega kwa maneno, wakatuma kwake wanafunzi wao, pamoja na maherode wakasema- Basi utuambie, waonaje? Ni halali kumpa Kaisari kodi, ama sivyo?Lakini Yesu aliufahamu uovu wao, akasema
Mbona mnanijaribu enyi wanafiki? Nionyesheni fedha ya kodi nao wakamletea dinari, akawauliza ni ya nani sanamu hii na anuani hii? wakamwambia ni ya Kaisari, akawambia
コメント