Baba yetu uliye mbinguni jina lako litukuzwe, ufalme wako utakalo Baba lifanyike duniani kama mbinguni.
Utupe leo mkate wetu, mkate wetu wa kila siku.
Utusamehe makosa yetu kama tusameavyo wenzetu.
usitutie kishawishini utukinge na maovu yote.
Kwan ufalme ni wako Baba nguvu na utukufu milele.
Comentarios