Baba yetu uliye mbinguni, jina lako litukuzwe, ufalme wako utufikie, utakalo lifanyike.
1. Duniani kama mbingni ee Baba- Utakalo lifanyike
Utupe leo mkate wa kila siku
2. Utusamehe makosa yetu ee Baba / Kama tunavyo wasamehe wenzetu
3. Usituitie vishawishini ee Baba / Utuopoe maovuni Amina
4. Kwani ufalme ni wako ee Baba/ Sifa na nguvu na utukufu Amina
Yorumlar